VIVA LE TANZANIA
mchezo wa chess kuagia mwaka mkahawa wa vitabu
Leo tunafunga mwaka wa 2008 na mchezo wa chess katika mkahawa wa vitabu wa SOMA. Wadau wote ambao wapo Dar es salaam wanaweza kuja kucheza au kusomeshwa jinsi ya kucheza gamu la chess.
Wooote mnakaribishwa
Manager wa Mkahawa
Godfrey George Kioko
No comments:
Post a Comment
welcome ma little homeys from anywhere