VIVA LE TANZANIA
Vodacom Tanzania inapenda kutoa shukrani za dhati kwa wasamaria wema ambao wamechangia harambee ya kusaidia ndugu zetu walioathirika na maafa sehemu mbalimbali nchini ikiwemo kilosa kulikokumbwa na mafuriko makubwa mwaka huu. Inasema asante sana kwa moyo wa uzalendo.
Kwa kuwa tatizo bado lipo, michango hiyo ya harambee ya maafa kupitia kampeni ya 'Vodafone Red Alert' inadelea kila siku na kupokewa ambapo unatuma kwa sms neno 'MAAFA' kwenda namba 15599 nawe utakuwa umechangia bila tatizo. Shime wadau kutoa ni moyo....
No comments:
Post a Comment
welcome ma little homeys from anywhere