Saturday, February 25, 2012

MAMBO YA ROSE NDAUKA!!!

VIVA LE TANZANIA

Maliki Bandawe (wa kwanza kushoto) ambaye ndio mtarajiwa wa Rose,Rose Ndauka na Daudi Mponji ambaye ni mkurugenzi wa Jakaya Group wakiwa makini katika usahili huo.

Hapa wakisikiliza kwa makini wasanii waliojitokeza kwenye usahili.

Staa wa filamu za kibongo nchini, Rose Ndauka siku ya Alhamisi alikuwa katika usahili wa kusaka vijana watakaoshughulika na kazi zote zitakazofanywa ndani ya kampuni ya Ndauka Interteiment.
Katika Usahili huo uliofanyika kwenye ofisi yake iliyopo maeneo ya Magomeni Mtaa wa Somanga ulikuwa ukisimamiwa kwa ukaribu zaidi na mchumba wake mtarajiwa Maliki Bandawe.

Mmoja kati ya wasanii waliojitokeza kwenye usahili ambaye aliwafanya majaji hao kushika mdomo.

Maliki Bandawe ambaye ni mmoja wa majaji akijadili jambo na Rose Ndauka.

Baada ya usahili hapa wakijadiliana nani amepita

No comments:

Post a Comment

welcome ma little homeys from anywhere