Kikosi kizima cha Mashauzi Classic kikifanya mashambulizi jukwaani.
Mkurugenzi wa bendi hiyo, Isha Mashauzi akilikabili jukwaa vilivyo.
Bendi Taarab inayokimbiza mjini, Mashauzi Classic usiku wa kuamkia leo ilikamua kinoma katika ukumbi wa Mashujaa pande za Vingunguti jijini, Dar katika mualiko maalum toka kwa mama mashuhuri mjini anayefahamika kwa jina la mama K.
Baadhi ya mashabiki wa bendi hiyo wakishereheka kwa raha zao.
No comments:
Post a Comment