Saturday, April 25, 2009

MANGE KASHAOPOLEWA!

VIVA LE TANZANIA
mange avishwa pete ya uchumba
mange kimambi akiwa na mchumba wake wa kimarekani lance baada ya kuvishwa pete ya uchumba usiku huu hoteli ya kilimanjaro kempinski katika hafla fupi ya lanchi ya usiku
lance akipiga goti kuomba chanda cha mange
mange na marafiki zake baada ya kuvishwa pete
mange akiwa na basilla mwanukuzi (shoto) na klynn kwenye hafla hiyo
mange na mchumba wake lance na marafiki

No comments: