Wednesday, December 31, 2008

nendeni wadau

VIVA LE TANZANIA
mchezo wa chess kuagia mwaka mkahawa wa vitabu

Leo tunafunga mwaka wa 2008 na mchezo wa chess katika mkahawa wa vitabu wa SOMA. Wadau wote ambao wapo Dar es salaam wanaweza kuja kucheza au kusomeshwa jinsi ya kucheza gamu la chess.
Wooote mnakaribishwa
Manager wa Mkahawa
Godfrey George Kioko

No comments: