Monday, March 23, 2009

ENZI HIZO

VIVA LE TANZANIA
Wakubwa wanapoteta enzi hizo
baba wa taifa akiteta na rais wa zanzibar na makamu wa kwanza wa rais mzee aboud jumbe (shoto) na makamu wa pili wa rais mzee rashidi mfaume kawawa huku kiongozi a frelimo samora machel akiwa kabana pemebeni. hapa ni katika uwanja wa ndege wa dar ambapo mwalimu alikuwa anasafiri na wengine walikuja kumsindikiza. jaribu kuwaza walikuwa wanaongelea nini..

No comments: