kibaka abambwa tabata

wananchi wakiangalia mtu anayesadikiwa kuwa ni kibaka katika mtaro maoeneo ya tabata leo asubuhi. hali yake ilikuwa mbaya wakati akiondolewa eneo la tukio baada ya kupigwa sana

wakiangalia alikoangukia baada ya kipigo

akiopolewa kutoka mtaroni

mtuhumiwa akiwa hoi baada ya kipigo. picha zote
na mdau mike mlingwa wa jarida la BabKubwa
No comments:
Post a Comment