Saturday, May 16, 2009

kibaka apewa kibano tabata

VIVA LE TANZANIA
kibaka abambwa tabata
wananchi wakiangalia mtu anayesadikiwa kuwa ni kibaka katika mtaro maoeneo ya tabata leo asubuhi. hali yake ilikuwa mbaya wakati akiondolewa eneo la tukio baada ya kupigwa sana
wakiangalia alikoangukia baada ya kipigo
akiopolewa kutoka mtaroni
mtuhumiwa akiwa hoi baada ya kipigo. picha zote
na mdau mike mlingwa wa jarida la BabKubwa

No comments: