VIVA LE TANZANIA
polisi waokoa mtuhumiwa wa wizi asibanikwe

kibiriti kinapigwa

moto lipu!

moto unakolea watu wanasepa

askari kanzu anawahi kusevu ngoma

jamaa anachoropoka

askari kazu akimuopoa mtuhumiwa huyo ambaye tayari alishawekewa kuni na dizeli na kupikwa kibiriti leo asubuhi maeneo ya garden flats nyuma ya ubalozi wa marekani, dar

mtuhumiwa aanguka kwa kiwewe cha kupigwa na wananchi wenye hasira na moto

anainuka taratibu

haamini kwamba bado yuko hai. anawashukuru sakari kanzu waliofika eneo la tukiuo chap chap na kuokoa maisha yake

kukosa kufika polsi stori ingekuwa ingine

haya bwana... twende umeshasevu...

anajikongoja

anakwea mchuma

anajitupa sakafuni

mchezo kwisha
No comments:
Post a Comment