VIVA LE TANZANIA

katika kuonesha umahiri na ubunifu wa hali ya juu ulioipeleka jahazi modern taarab katika bahari kuu ya muziki huo nchini, mzee yusuf na kundi lake sasa wana madansa katika maonesho yao ambao linapopigwa sebene hufanya vitu si vya kawaida jukwaani. hii ilikuwa usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa bwawa la kuogelea wa city garden hotel gerezani (zamani railway club) dar

mzee yusuf akiongoza jahazi wakati wa shoo hiyo kali

mbunge wa temeke mh. abbas mtemvu alishindwa kujizuia na kuja kumtuza mzee yusuf kwa vitu vyake vya uhakika.

baadhi ya malkia wa jahazi

mpiga kinanda anayepagawisha

mkono wa dhahabu akipeleka wadau dubai huku shoto akionekana thabiti mtoto wa ilala akipapasa kinanda. listi imetimia jahazi modern taarab
No comments:
Post a Comment