uzinduzi wa ripoti ya taifa ya hesabu sekta ya afya
Thursday, December 10, 2009
UZINDUZI
VIVA LE TANZANIA
Mganga Mkuu wa serikali Dk. Deo Mutasiwa akizindua rasmi ripoti ya Taifa ya hesabu katika sekta ya Afya (NHA) ya mwaka 2002/3 na 2005/6 ikionyesha matumizi katika magonjwa ya Malaria, Kifua Kikuu, Ukimwi na katika Afya ya mama na motto leo jijini Dar.
Mganga Mkuu wa serikali Dkt. Deo Mutasiwa akimkabidhi mwakilishi wa shirika la Ushirikiano na Maendeleo la Uswiswi (Swiss Agency for Development and Cooperation) Bw. Jacques Mader ripoti ya Taifa ya hesabu katika sekta ya Afya (NHA) ya mwaka 2002/3 na 2005/6 ya matumizi katika magonjwa ya Malaria, Kifua Kikuu, Ukimwi na katika Afya ya mama na mtoto mara baada ya uzinduzi leo jijini Dar
Mganga Mkuu wa serikali Dkt. Deo Mutasiwa akiongea na wadau mbalimbali wa sekta ya Afya nchini kutoka serikalini, Taasisi mbalimbali na wawakilishi wan chi washirika wa maendeleo leo jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa ripoti ya Taifa ya hesabu katika sekta ya Afya (NHA) ya mwaka 2002/3 na 2005/6 ikionyesha matumizi katika magonjwa ya Malaria, Kifua Kikuu, Ukimwi na katika Afya ya mama na mtoto.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment