VIVA LE TANZANIA
TBC yaandaa kitimtim cha uchaguzi
mwendeshaji wa kipindi kipya cha TV katika TBC1 Maria Shaba akiongea na mwakilishi toka ubalozi wa Uingereza nchini pamoja na prodyuza Dk. Martin Mhando na msanii Vitalis Maembe, Rose Haji wa MISA-Tan na Mh. John Mnyika wa CHADEMA baada ya kukamilisha kurekodi sehemu ya kwanza ya kipindi cha 'Kitimtim' kitachoanza kurushwa hivi karibunik ikiwa ni kuamsha na kuelimisha wananchi kuhusu wajibu na haki katika uchaguzi mkuu. Fungua dimba ni mada ya Ushiriki na utendaji wa vyombo vya habari katika uchaguzi mkuu
No comments:
Post a Comment