veterani wakisubiri matokeo ya uchaguzi wa tff

hivi sasa wajumbe ndio wanahojiwa ili wapigiwe kura. kura za rais, makamu wa kwanza na wa pili wa rais tayari zimeshapigwa. tunategemea kupata matokeo kabla ya saa kumi ili kuwahi kuwapokea taifa stars wanaotua leo saa kumi na moja eapoti hapa dar.
redio mbao zinasema nanihii ameshinda kwa kura nyingi, mpinzani wake akiwa kaambulia robo tu. nanihii wa tmk redio hizo zinasema kalamba umakamu wa kwanza na ninihii kawa makamu wa pili.
No comments:
Post a Comment