Tuesday, December 16, 2008

UZINDUZI WA JIKOMAN

VIVA LE TANZANIA
Uzinduzi wa JHIKOMAN umeiva! TUPENDANE kuzinduliwa rasmi!
Show hii inayoletwa kwa hisani ya Goethe-institut Tanzania ( kituo cha utamaduni cha wajerumani). Ni uzinduzi rasmi wa Albamu mpya ya Jhikoman inayoitwa TUPENDANE.
Vilevile Wahapahapa Band wata tambulisha Albamu yao iitwayo BARUA itakayo zinduliwa mwakani.Ashimba jina jipya katika fani lenye mambo makubwa! Ashimba atatambulisha NURU NYIKANI Albamu itakayo zinduliwa mwanzoni mwa mwaka 2009.
Ashimba anafanya kazi chini ya Maisha Music.Wasanii wengine watakao shiriki katika onesho hili ni Vitali Maembe, Misoji Nkwabi wote kutoka Bagamoyo. Antonia Kutoka Ujerumani. Sqeezer naye atakuwepo pamoja na wasanii wengine wengi!
Karibuni wote
Kiingilio dezo!

No comments: