mahojiano ya dr. slaa kuhusu yaliyojiri mbeya vijijini

Mwishoni mwa mwaka jana nilipata nafasi ya kuzungumza na Bongoradio.com kuhusu masuala mbalimbali ya kufunga mwaka. Ninawaletea sehemu kidogo ya mahojiano hayo pamoja na mahojiano niliyoyafanya na Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu-Chadema) kuhusu kilichosababisha mgombea wao msomi mwanasheria Bw. Sambwee Shitambala kushindwa kufuata taratibu rahisi za kuapa kabla ya kushirki uchaguzi huo mdogo.
Baada ya kusikiliza mahojiano hayo piga kura na upande wa kulia wa tovuti hii na utoe maoni yako ni nini unafikiri kilitokea Mbeya Vijijini. Unaweza kusikiliza mahojiano kwa kuingia kwenye "Podcasts" kwa kubonyeza herufi ya "M - Podcast" upande wa kulia wa ukurasa wa mbele wa tovuti yetu Kisha angalia miaka na tarehe ya onesho.
Kwa mawasiliano mengine yote tuandikie
M. M.
Title: KLH News Episode: Exclusive: Dr. Slaa azungumzia yaliyojiri Mbeya Vijijini
No comments:
Post a Comment