Thursday, January 8, 2009

MAHOJIANO NA DK.SLAA

VIVA LE TANZANIA
mahojiano ya dr. slaa kuhusu yaliyojiri mbeya vijijini
Mh. Dk. Slaa akiteta na mwenyekiti wa Chadema Mh. Freeman Mbowe (shoto) na Mh. Zitto Kabwe kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama hicho


Mwishoni mwa mwaka jana nilipata nafasi ya kuzungumza na Bongoradio.com kuhusu masuala mbalimbali ya kufunga mwaka. Ninawaletea sehemu kidogo ya mahojiano hayo pamoja na mahojiano niliyoyafanya na Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu-Chadema) kuhusu kilichosababisha mgombea wao msomi mwanasheria Bw. Sambwee Shitambala kushindwa kufuata taratibu rahisi za kuapa kabla ya kushirki uchaguzi huo mdogo.




Baada ya kusikiliza mahojiano hayo piga kura na upande wa kulia wa tovuti hii na utoe maoni yako ni nini unafikiri kilitokea Mbeya Vijijini. Unaweza kusikiliza mahojiano kwa kuingia kwenye "Podcasts" kwa kubonyeza herufi ya "M - Podcast" upande wa kulia wa ukurasa wa mbele wa tovuti yetu Kisha angalia miaka na tarehe ya onesho.



Kwa mawasiliano mengine yote tuandikie






na kwa kutaka kujiandikisha kijarida cha bure cha "Cheche za Fikra" tuandikie mhariri@klhnews.com


M. M.


Title: KLH News Episode: Exclusive: Dr. Slaa azungumzia yaliyojiri Mbeya Vijijini

No comments: