Saturday, January 31, 2009

MAMBO YA NGWASUMA HAYA

VIVA LE TANZANIA
ngwasuma wachengua mtwara
ngwasuma wakiwajibika mjini mtwara usiku wa kuamkia leo
baaaa... palikuwa hapatoshi...
Wazee wa ngwasuma usiku wa jana walikonga nyoyo za wapenzi wa miondoko ya ngwasuma chini ya prezidaa wao nyoshi el sadaat a.k.a 'sauti ya simba'
Palikuwa hapatoshi.
Haya ni mambo ya mdau wa mtwara John Mnamba anayeeendeleza libeneke kupitia:
mtembelee uone libeneke la kusini lilivyo

No comments: