Wednesday, January 21, 2009

UKUMBI MPYA WA MIKUTANO DAR UNAKARIBIA

VIVA LE TANZANIA
bonge laukumbi la mikutano lanukia dar
JK na balozi wa china nchini Mhe. Liu Xinsheng wakiangalia mchoro wa jengo linalotarajiwa kujengwa jijini dar litalojulikana kama julius nyerere convetion center wakati walipokutana ikulu
mchoro wa jengo la julius nyerere convention center linavyoonekana kwa ndani
kwa nje



No comments: