skip to main |
skip to sidebar
USAFIRI
VIVA LE TANZANIA
usafiri ziwa victoria
Usalama wa wasafiri katika ziwa Victoria bado unatiamashaka kwa baadhi ya vyombo vinavyotumika katika ziwa hilo. Pichani wananchi wakisafiri kati ya Mwanza Mjini na Kijiji cha Ilunda wilayani Sengerema mwishoni mwa wiki. (Picha na Hilary Bujiku)
No comments:
Post a Comment