Monday, August 10, 2009

machozi

VIVA LE TANZANIA
kutana na machozi cultural troupe
vijana wa machozi cultural troupe ya mbagala jijini dar wakitumbuiza katika moja ya hafla kwa ngoma ya nyoka. vijana wengi hivi sasa wamejiajiri wenyewe kwa kuunda vikundi kama hivi
dada hana wasiwasi na anachokifanya
busu la chatu
vijana wa machozi wanasisimua sana wakiwa mzigoni




No comments: