Monday, August 10, 2009
jk
VIVA LE TANZANIA
Rais Rupia Banda wa Zambia akimkaribisha JK muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Lusaka jumapili jioni ambapo anahudhuria mkutano maalumu wa nchi za Maziwa makuu.
JK akipokea shada la maua toka kwa kijana aliyejumuika na watanzania wengine wanaoishi Zambia kumlaki uwanja wa ndege
JK na mwenyeji wake wakisalimiana na wananchi baada ya kuwasili Lusaka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment