Monday, August 10, 2009

mnuso

VIVA LE TANZANIA
anko nanihii akila pozi na wadau wa tokyo, job na wilna, thai village anapotumbuiza lady jay dee na machozi band kila jumapili
mdau wilna wa tokyo na flaviana matata na rafikiye thai village
anko nanihii akiwa na DJ bonny luv na msanii nyota wa filamu kanumba ambaye karejea freshi toka london ambako alienda kushuti muvi lake jipya



No comments: