Saturday, December 5, 2009

WAKONGO USIPIME

VIVA LE TANZANIA
wakongo kizimbani kwa kuishi nchini bila kibali

Raia 10 wa Congo DRC wakisubiri kupandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi wa Sumbawanga baada ya kukamatwa kwa kosa la kuingia na kuishi nchini bila kibali. wanane kati yao walipewa adhabu ya kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela bada ya kushindwa kulipa faini ya shilingi 30,000/- ambapo wawili waliolipa faini hiyo walipewa masaa 72 wawe wamekwisha ondoka nchini wenyewe kwa gharama yao. Picha na mdau Peti Siyame

No comments: