KUMBUKUMBU
Aaron B.C. MabondoNimevipiga vita vilivyo vizuri,
Mwendo nimeumaliza, Imani
Nimeilinda. 2 Tim 4:7
Leo 04/02/10 ni mwaka mmoja toka Baba yetu mpendwa Mch. Aaron B.C. Mabondo wa Kibaha Picha ya ndege alipotutoka katika mwili. Mioyo yetu ina huzuni kumkosa lakini tunajua siku moja tutamuona Mbinguni.
Hatutamsahau baba yetu kwa malezi ya upendo
Mwendo nimeumaliza, Imani
Nimeilinda. 2 Tim 4:7
Leo 04/02/10 ni mwaka mmoja toka Baba yetu mpendwa Mch. Aaron B.C. Mabondo wa Kibaha Picha ya ndege alipotutoka katika mwili. Mioyo yetu ina huzuni kumkosa lakini tunajua siku moja tutamuona Mbinguni.
Hatutamsahau baba yetu kwa malezi ya upendo
wa kiroho na kimwili aliyotupa, tumejifunza mengi kutoka kwake.
Kwa niaba ya familia ya Mabondo tunapenda kuwashukuru watu wote ambao wameendelea kuwa faraja kwetu na hasa kwa mama katika kumtia moyo kwa njia mbalimbali. Mungu awabariki na kuwazidishia upendo huo kwa wengine pia.
Kwa niaba ya familia ya Mabondo tunapenda kuwashukuru watu wote ambao wameendelea kuwa faraja kwetu na hasa kwa mama katika kumtia moyo kwa njia mbalimbali. Mungu awabariki na kuwazidishia upendo huo kwa wengine pia.
tangazo la msiba huu
BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment