Friday, February 5, 2010

KUMBUKUMBU YA KAKA MKUBWA

VIVA LE TANZANIA
kumbuka: februrai 6 ni hepibesdei ya kuzaliwa bob marley


bad card
Nabii wa Reggae hayati Robert Nesta Marley aka Bob Marley alizaliwa 6 Feb 1945 kule kijijini St.Ann, kisiwani Jamaika aka jah make yah!
Hakuna asiye jua kuwa Bob ndie super star wa kwanza ktuoka ktk nchi masiki kama zinavyiitwa nchi za dunia ya tatu! super star huyu ambaye jina lake aliwezi kusaulika kwa kazi yake iliyozaa matunda ya kueneza mziki wa reggae dunia,njia ambazo alizotumia ni gitaa, na kanda za kaseti aina C90 ambazo limepenyeza mziki huo katika mipaka ya kila nchi. mziki wake huo wa Reggae ulifika mpaka katika nchi za kiafrika kwa kupitia kanda za kaseti C 90 au C60.

Bob Marley kama leo angekuwa hai basi angesherekea siku ya kuzaliwa.
Je? leo hii tunateknolojia nyingi mbona wanamziki wengi wamekuwa wavivu kutangaza kazi zao? je tujifunze nini kutoka kwa marehemu Bob Marley?(RIP)

No comments: