Tuesday, April 6, 2010

HII NI NOMA

VIVA LE TANZANIA
libeneke la eapoti

Asalaam Aleikh,SHISHI

hebu on ajinsi TAA wanavyofanya tuchekwe na wageni pale eapoti ya uwanja wa ndege wa Julius Nyerere... Kuna AC inavuja maji wahusika wapo tuu wanategesha dustbins kukinga maji!!! Jionee mwenyewe taswira ya nchi inavyoharibiwa na wachache wenye dhamana.

MdauHarold E. N.

No comments: