Tuesday, April 6, 2010

UCHAGUZI

VIVA LE TANZANIA
UCHAGUZI WA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA READING KUFANYIKA TAREHE 25/04/2010
Nakuchukua fursa hii kuwataarifu Watanzania waishio Reading ya kuwa kutakuwa na mkutano mkuu wa kuwachagua viongozi wa jumuiya yetu hapa Reading tarehe 25/04/2010 ,kwa yoyote yule atakayependa kuwania nafasi basi unatakiwa kujaza form iliyopo kwenye kiambanishi na kuirudisha kabla ya tarehe 20/04/2010.
Upatapo ujumbe huu basi mjulishe na mwenzako.Form zirudishe kwenye email ya Jumuiya na kama unamaswali yoyote yale basi usisite kuwasilaina na sisi.

NAFASI ZA KUGOMBEA
NGAZI YA JUU
1:Mwenyekiti
2:Makamu Mwenyekiti
3:Katibu4:Katibu Msaidizi
5:Mtunza Hazina

WAJUMBE
Nafasi Tano za wajumbe
UKUMBI :TUTAWAJULISHA
MUDA:SAA NANE MCHANA(ZINGATIENI MUDA)
TAREHE:25.04.2010
--
Jumuiya Ya Watanzania Reading-UK
http://www.tanzaniaassociation-rea

No comments: