Sunday, December 14, 2008

JAHAZI WAENDA ULAYA

VIVA LE TANZANIA
jahazi watua ulaya
Wasanii wa kundi la Jahazi Modern Taarab mara baada ya kuwasili jana katika uwanja wa ndege wa kimataifa Heathrow terminal 5 London.

Usiku huu kundi hilo litafanya onesho lake la kwanza katika ukumbi wa Silverspoon uliopo pembeni ya uwanja wa kimataifa wa mpira wa Wembley.
jahazi na wenyeji wao mar baada ya kutua heathrow



No comments: