washindi wa tanga race
Sunday, December 14, 2008
WASHINDI WA TANGA RACE
VIVA LE TANZANIA
Afisa udhamini wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Ibrahim Kaunde (wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na timu ya waendesha Maboti ya Jamala ambao waliibuka washindi wa jumla katika mashindano ya Vodacom Tanga Race, yaliyoanzia Dar es Salaam hadi Tanga, na kurudi Dar es Salaam, yakiwa yamedhaminiwa na Vodacom Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment