VIVA LE TANZANIA
turuka atembelea daily news na habariLeo

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) akiangalia jinsi magazeti ya Daily News na Habarileo yanavyoandaliwa kwa ajili ya kuchapishwa wakati alipotembelea kiwanda chao cha magazeti kilichopo eneo la TAZARA jijini Dar

Meneja wa Uchapishaji wa magazeti ya Serikali (TSN) John Mcharo akimuelezea Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) jinsi magazeti hayo yanavyoandaliwa kwa ajili ya kuchapishwa wakati alipotembelea kiwanda chao cha Uchapishaji kilichopo eneo la TAZARA jijini Dar

Mhariri wa Makala wa Gazeti la Habarileo Oscar Mbuza akitoa Maelezo jinsi wanavyoandaa makala mbalimbali kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Dk. Florens Turuka (aliyevaa suti) wakati alipotembelea Ofisi za Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) zilizopo mtaa wa Samora jijini Dar
No comments:
Post a Comment