Sunday, July 19, 2009

ZITAISHA LINI LAKINI?!?

VIVA LE TANZANIA
bonge la mzinga namanga, dar
breakdown ikijiandaa kuondoa moja ya magari yaliyohusika na mzinga huo ambao chanzo chake hakijajulikana
kila mtu anashangaa maajabu ya jinsi abiria na madereva walivyoweza kunusurika
magari haya yaligongana uso kwa uso usiku wa kuamkia leo maeneo ya namanga jijini dar. ishukuriwe yote yana mifuko ya hewa ambapo abiria na madereva walinusurika kifo kimaajabu
breakdown za dar huwa hazilali
mataa mengi ya kuongozea magari yameharibiwa na ajali kama hizi





No comments: